Thursday, February 4, 2010

UFUGAJI WA KITAALAM


mifugo ni mali hasa miugo ile ya kisasa ,ng'ombe mmoja wa aina hii anaweza anaweza kuwa na faida mara mbili au tatu ukilinganisha na ngombe wetu wa kienyeji tunaofuga.
Fuga kitaalamu na wala sio kufuga ki uzoefu


wataalamu watanesco wakionyesha vimbwanga vyao katika siku ya wafanyakazi



Moja ya shule mahiri sana ya magereza morogoro wakatia wamaafali ya form four
SHULE HII INAFANYA VIZURI SANA KITAALUMA



VIJANA WA ARUSHA NA RAHA ZAO BAADA MIHANGAIKO MINGI YA KAZI



POZI LA KIJA WA ARUSHA AKIWA GETO KWAKE



No comments:

Post a Comment