ujasiriamali ni popote. kibanda cha mama ntilie ambacho kimemfanya anasomesha watoto na huduma nyingine
shule ni kokote . vijana wa chuo cha waislamu morogoro (MUM)wakifanya mjadala mkali kuhusu masomo
Bwanashamba akitoa maelezo kuhusu Magonjwa yanayoshambulia migomba pamoja na ndizi huko Bukoba
JINSI WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA ILIVYOJIPANGA KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA CHAKULA NCHINI( MBELE NI WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA)
vijana tunatakiwa kurudi kijijini ili kujiajiri katika kilimo ili tuweze kutumia furusa zilizopo. kwa sasa kila kijiji kimetengewa milioni 35 za DADPS ili kuanzisha miradi yeyote kilimo kikiwepo
vijana tuzichangamkie hizo ili kilimo kiweze kuwa endelevu
No comments:
Post a Comment