Monday, February 8, 2010

TUACHE KUWA TEGEMEZI

Maendeleo hayawezi kuwepo kama watu hawana tabia ya kujitegemea kuanzia kwenye serikali mpaka nganzi ya chini ya familia na baadaye mtu mmoja mmoja

Kama huna uwezo wa kujitegemea basi huna uwezo wa kuendelea na kama huna uwezo wa kuendelea basi maisha yako ni lazima yawe magumu leo mpaka kesho.

Kama nchi itategemea misaada kutoka nje ni lazima ukubaliane na mashariti ya kwao na lazima wakupe cha ziada

Hiyvo serikali ikitegemea serika athari yake ni kubwa kutokana na kuwa atakupa mashariti magumu au mda mwingine anakupa kwa kuwa kuna anachokitaka kwako

Utamaduni huuu kwa Tanzania umejengeka sana mtu hafanyi kitu anategemea kupata kitu
Sasa imefikia hata wakulima wengi wanapunguza kasi kwani wanafikiri kilimo kwanza ni mradi ambao hugawa pesa kwa wakulima

Kilimo kwanza ni sera na wala sio mradi hivyo haigawi hela inatoa msukumo kila mtu asaidie kwa namna flani katika kukiinua kilimo

Jamani tusitegemee msaada hakuna msaada tufaje kazi

No comments:

Post a Comment