Wednesday, March 10, 2010


hapa sio shamaba darasa bali usambazaji wa elimu kutoka mtalaamu wa mofugo

WA MIFUGO


mtaalamu wa mifugo kutoka chuo cha mifugo mpwapwa (kulia) juma marisa akibadlishana mawazo na Ombeni sawaya moja wa AREWING

afisa mifugo kutoka liti morogoro akipumzika baada ya kiza nzito ya mifugo

watoto nao wanatafari zao

ndizi sio za wachaga tu!


moja ya familia inapokutana basi maandalizi yake huwa kama hivi
na hapa ni moja ya maeneo kule tabata segera maarufu kama kwa mfuga punda

Monday, March 8, 2010

KUNA UTAMADUNI WA MTANZANIA ?

jana katika tasisis ya SOMA ilioko wilaya ya kinondoni katika maeneo ya moroco walikuwa na mjadala unaohusu utamaduni wa mtanzania ,kwa maana kuwa Tanaznia ina utamaduni au haina!

baadhi ya watu walisema
Tanzania hamna utamaduni kwa sababu hakuna vazi la kitaifa kama wenzetu wa NIGERIA
wengine wamesema kuwa hatutumii lugha yetu ya kiswahili katika mikutano mikubwa hasa viongozi wa siasa na baadhi wa viongozi wa dini
wengine wakasema kuwa Tanzania hakuna utamaduni wa kweli kutokana na ule wa ukarimu uliokuwepo umekuwa wa kinafiki

baadhi ya watu wengine wakasema kuwa Tanzania ina utamaduni wake
na wakatoa pointi zao za kuimarisha hoja zao kama ifuatavyo

Tanzania inatumia lugha ya Kiswahili ambayo ndio inayowaunganisha watanzania wote nchini hivyo mtu yeyote akisikia ukiongelea kiswahili anakutambua kuwa wewe ni mtanzania

wengine wakasema hata kuwepo kwa ukarimu kwa watanzania nimoja ya utamaduni wao na walitoa hoja zao wakilinganisha na nchi kama Kenya na Uganda ambapo neneo NAOMBA haliwezi kutumika kama unatoa pesa lakini kwa Tanzania hata kama
wakati unatoa pesa ,neno hili hutumika

Mimi kama mimi naona kuwa jamii yeyote lazima iwe na namna ya maisha ambayo huwa inabadilika kutokana na muda na mahali

tukisema kuwa Tanzania hamna utamaduni tunamaanisha kuwa Tanzania hamna namna watu wanavyoishi kitu amba sio kweli

Na namna ya maisha inahusisha vitu mbalimbali kama lugha vyakula kutembea kuimba kucheza kuvaa na vinginevyo . je Tanzania mambo haya haya yapo?

utamaduni wa mtanazania upo na kiswahili ni sehemu moja tu ya utamaduni wa mtanznia

Tuesday, March 2, 2010

mtaalam mambo ya uhariri wa vipindi vya television


bwana Rainadi Kayombo akiwa swaz land


Kayombo akipokea zawadi ya laptop katika moja ya chuo huko swazland




hapa anapokea cheti katika chuo hicho

kahawa moshi


moshi utajiri nje nje kupitia kahawa

Thursday, February 25, 2010

Bangi chanzo cha kufeli kwa wanafunzi Tanzania


kule handeni inasemekana wanafunzi wanajishughulisha na ulevi pamoja na uzinzi ndio chanzo cha kushindwa masomo kwa kiasi kikubwa

wila ya handeni katika shule ya Misima wanafunzi 20 wamekutwa na mimba na wangine huoneka na wakivuta bangi wakati wa masomo

mda mwingine shule kutofaulisha sio swala la walimu wabovu bali ni wanafunzi wenyewe
pia wazazi nao ni tatizo kwani wanaiona mienedno ya watoto wao kila siku lakini hawatoi ushirikiano wa moja kwa moja na walimu husika

mbegu za uyoga


wakuu wa nchi yetu wakiaangalia mbegu za uyoga na madawa

Wednesday, February 24, 2010

kibega


sio kuwa ni tanzania tu kunapofanyika kazi za dhoruba kuonyesha kiaasi kikubwa cha umaskini na kuwa nyuma kwa technolojia , zipo nchi nyingine nje ya Africa kama unavyoniona



usafiri unapokuwa mgumu


mtu unaposafiri kama vile unahama bwana! kuna karaha yake

athari ya maandamano



athari ya vita kwa watoto wenye msimamo wa kishule

na haya ni matokeo ya maandamano kwa wanafunzi

wapo wengi hata hapa tanzania wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na maandamano

mvua zimeleta matunda moshi


hapa ni mkoani kilimanjoro ambapo mvua zimeleta manufaa ya mazao ya mahindi
japo kulikuwa na upungufu mkubwa wa chakula kipindi cha nyuma

majambazi wanapokuamulia


Dawa ya ujambazi ni Polisi Jamii
yamekuwa yakitokea majanga makubwa ya ujambazi na kuwafanya watu kuathirika kwa kiasi kikubwa
kamwe hatuwezi kusaha yaliotokea kule katika kisiwa cha ukerewe na yale yaliotokea kule musoma

kupambana na majambazi ni kazi ya kila mtanzania

mimi nanaamini kuwa tatizo la ujambazi linaweza kumalizwa na polisi jamii
hii ni kutokana na ukweli kwamba majambazi wapo ndani ya jamiii husika
kama polisi jamiii wakiwezeshwa vizuri hili litawezekana

Barabara ya mandelea ni tatizo

Katika uzalishaji na kukuza uchumi ni muhimu kuzingatia muda

Hii inatokana nakuwa bila muda hakuna uzalishaji

Uzalishaji usiojali muda hauna faida wala hautakuwa endelevu, ni lazima kuangalia miundombinu hasa ya barabara

Nalisema hili kwa kuwa ni muda mrefu hapa DSM kumekuwa na miundombinu mibovu kiasi ya kwamba wazalishaji kukaa bararani zaidi ya masaa mawili kutokana na foleni

Mfano barabara ya Mandela ambayo ina zaidi ya miaka miwili sasa tangia ianze kutengenezwa, imekuwa kero kwa kusababisha foleni kwa muda wa miaka miwili sasa

Barabara mategenezo hayaishi na hayana mpangilio matengenezoyasiokuwa na mpangilio … hii inatia huruma japo wakati mwingine inatia hasira

Barabara hii huwezi kujua kuwa wakandarasi walianzia wapi kutengeneza na wataishia wapi kwa kuwa kila siku wanatengeza kipande na kabala hakijaisha wanahamia kungine

Hii inasababisha foleni kubwa ,watu wanachelewa makazini wafanyabiashara wa dadalala ndio kabisa hasara mafuta huishia njini

Hivi serikali wao wapiti njia hii ya Mandela wakaona ?

Sasa kama mfanyakazi anatakiwa kufika kazini saa 1:30 lakin kutokana na foleni akafika saa 3:00 hapo kutakuwa na uzalishaji gani wenye tija ?

Wahusika wa barabara hii mnaombwa kuangalia swala hili.

Wednesday, February 10, 2010

USHAWAHI KUFIKIRI HIVI

Ushawahi kujiuliza kuwa kwa nini kinyonga anabadilisha rangi?

Na ushawahi kujiuliza kuwa ni wakati gani kinyonga anabadilisha rangi?

Pia ushawahi kuuliza kuwa kwa nini hata kama mti nimrefu kiasi gani lazima matawi yarudi chini?
sasa ukweli ni huu
Kinyonga huwa anabadilisha rangi pale anapowaona maadui zake

lakini pia hubadili rangi wakiti anapokuwa anataka chakula kilichopo ndani ya maadui zake

hii inaonyesha uwezo wake na mbinu ili kujiwezesha kuishi

hata mti huchukua tahadhari kwa kuelewa kuwa ni lazima utarudi chini kwa kuyataguliza matawi chini

JE SISI TUNAJIHAMI VIPI KATIKA KUPAMBANA NA VIKWANZO?

Tuesday, February 9, 2010


maisha ni vikao kama harusi


kinaelekeza tuende wapi?

Monday, February 8, 2010

utaalamu wa kuunganisha vikonyo vy michungwa


mtaalam (bw.Nzelewaya) Akionyesha jinsi ya kuweza kupata mbegu za kisasa za michungwa kwa kuunganiasha maiche miwili ya tofauti ya michungwa


sehemu tulivu ni mnazi mmoja




kahawa inakobolewa




moja ya kumbi zilizopambwa kitaalamu na kupendeza



wanasarakasi wakitumbuiza katika maeneo muhimu sana kule mbeya



hapa ni je kidogo kutoka chalinze, barabara ya kwenda mkoa wa kilimanjaro na Arusha







ufuta zao lenye faida lilikosa walimaji



karanga mbichi zinapoingia ssokoni na maganda anayepujwa ni mkulima au mlaji?



twende sasa burudani imeanza!


safari ni safari



ufugaji wa kuku umewainua waliowengi ki kikipato

uyoga zao lenye thamani na dawa kwenye mwili wa mwanadamu




mkungu wa ndizi wenye urefu wa kimo cha mwanadamu tu mzima kama unavyoonekana
mwandishi wa habari Gladis Mapeka akichukua vipimo vya mkungu huo




lazima kieleweke


manoti ya muhogo


mbuzi anayezaa mapacha na wmenye uwezo wa kutoa maziwa lita mbili kwa siku


Ndege hagusi mtama, ulinzi mkali



haya wale wa ndizi hapa ni kule kwetu moshi



hapa ni raha mwanzo mwisho


hili ni kweli chukua hatua

anatunga sheria


vijana wa moshi mkoani kilimanjaro wakiotesha miche ya kahawa katika mchakato mzima wa kilimo kwanza



bado haya ni mapinduzi ya kilimo
muhogo usipo ula kama kitafunwa basi uataula kama chipsi , lakini pia unaweza kuula kwenye keki au maandazi tambi na ugali lakini mbali ya yote unaweza kuula ukiwa mbichi



uhuru wa habari

Huwa watu wanasema kuwa Uhuru wa vyombo vya Habari ni chimbuko la Demokrasia

Kwa maana kuwa bila uhuru wa kujieleza haitawezekana kuibulia na kufahamu yale mazuri na mabaya (ufisadi) yanayofanywa na viongozi wetu ,

Hayo yanaweza kufanyika tu kama mtu atapata uhuru wa kuongea ambayo ndio Demokrasia

Demokrasia na ufisidi ni sawa na maji na moto ambavyo ki msingi kamwe havikai sehemu moja

Pia ufisadi na uhuru wa habari ni sawa na mwanamke na mwanaume ambao huwa hawafanani japo mmoja anaweza kumuendeleza mwingine

Fisadi huogopa vyombo vya habari kama ukoma kwa maana huweza kumjenga au kumbomoa japo kama waandishi wakiyumba kidogo huweza kulelewa na mafisadi

Katika mazingira ya hivi karibuni jinsi vyombo vya habari vilivyochangia katika vita dhidi ya mafisadi
Swala hili lilileta hofu kwa wale waliokuwa wanafikiri kuwa mafisadi wa kesho au wa leo lakini hawajakomaa

Hii isije kujenga tabaka kati ya wanahabari naumoja wa wanaofikiri kuwa ni mafisadi na kuleta mitikisiko na kutika nguzo hii ya nne ya serikali yaani HABARI

pembejeo huleta mageuzi


dume la mbegu
anayetokana na ufugaji wa kisasa


tumia mbolea kwa manufaa yako



mtaalamu wa nutritions wa wizara vya kilimo anayeishi Dodoma(KULIA) Bi. Swaiba Ramadhani msangi
anashauri tule mboga za majania kwa afya



YAAP tunajaribu jaribu



hapo sasa!



TUACHE KUWA TEGEMEZI

Maendeleo hayawezi kuwepo kama watu hawana tabia ya kujitegemea kuanzia kwenye serikali mpaka nganzi ya chini ya familia na baadaye mtu mmoja mmoja

Kama huna uwezo wa kujitegemea basi huna uwezo wa kuendelea na kama huna uwezo wa kuendelea basi maisha yako ni lazima yawe magumu leo mpaka kesho.

Kama nchi itategemea misaada kutoka nje ni lazima ukubaliane na mashariti ya kwao na lazima wakupe cha ziada

Hiyvo serikali ikitegemea serika athari yake ni kubwa kutokana na kuwa atakupa mashariti magumu au mda mwingine anakupa kwa kuwa kuna anachokitaka kwako

Utamaduni huuu kwa Tanzania umejengeka sana mtu hafanyi kitu anategemea kupata kitu
Sasa imefikia hata wakulima wengi wanapunguza kasi kwani wanafikiri kilimo kwanza ni mradi ambao hugawa pesa kwa wakulima

Kilimo kwanza ni sera na wala sio mradi hivyo haigawi hela inatoa msukumo kila mtu asaidie kwa namna flani katika kukiinua kilimo

Jamani tusitegemee msaada hakuna msaada tufaje kazi

Thursday, February 4, 2010

UFUGAJI WA KITAALAM


mifugo ni mali hasa miugo ile ya kisasa ,ng'ombe mmoja wa aina hii anaweza anaweza kuwa na faida mara mbili au tatu ukilinganisha na ngombe wetu wa kienyeji tunaofuga.
Fuga kitaalamu na wala sio kufuga ki uzoefu


wataalamu watanesco wakionyesha vimbwanga vyao katika siku ya wafanyakazi



Moja ya shule mahiri sana ya magereza morogoro wakatia wamaafali ya form four
SHULE HII INAFANYA VIZURI SANA KITAALUMA



VIJANA WA ARUSHA NA RAHA ZAO BAADA MIHANGAIKO MINGI YA KAZI



POZI LA KIJA WA ARUSHA AKIWA GETO KWAKE