HI NI KWELI MAENDELEO NI LAZIMA YAVUNJE MAENDELEO?
Katika kipindi hiki kumekuwa na matatizo ya miundombinu ya bara barahasa za mitaani kutokana na utengenezaji wa miundombinu ya mabomba
Wachina wamekuwa wakijaribu kutengeneza miundombinu ya maji hapa DSM ambayo kila barabara imeharibika katika mitaaa na kutokana na jinsi wanavyochimba mitaro na kuiacha bila ya kuifukia
Ukiangalia katika mtaa ya tabata segerea kimanga na penginepo watu huwa hulazimika kulaza magari yao CCM na wengine na kuharibika kwa magari yao
Sasa nawajiuliza kwanini barabara ifungwe kwa tatizo lijalo, kwa nini ukichimba usifukie?
kwa ni lazima maendeleo ya vunje maendeo mengine?
kwa ni lazima miundombinu mipya ivuruge miundo mbinu ya zamani?
Tujirekebisheni
Tuesday, November 3, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment