hapa sio shamaba darasa bali usambazaji wa elimu kutoka mtalaamu wa mofugo
Wednesday, March 10, 2010
WA MIFUGO
ndizi sio za wachaga tu!
Monday, March 8, 2010
KUNA UTAMADUNI WA MTANZANIA ?
jana katika tasisis ya SOMA ilioko wilaya ya kinondoni katika maeneo ya moroco walikuwa na mjadala unaohusu utamaduni wa mtanzania ,kwa maana kuwa Tanaznia ina utamaduni au haina!
wengine wamesema kuwa hatutumii lugha yetu ya kiswahili katika mikutano mikubwa hasa viongozi wa siasa na baadhi wa viongozi wa dini
wengine wakasema kuwa Tanzania hakuna utamaduni wa kweli kutokana na ule wa ukarimu uliokuwepo umekuwa wa kinafiki
baadhi ya watu wengine wakasema kuwa Tanzania ina utamaduni wake
na wakatoa pointi zao za kuimarisha hoja zao kama ifuatavyo
Tanzania inatumia lugha ya Kiswahili ambayo ndio inayowaunganisha watanzania wote nchini hivyo mtu yeyote akisikia ukiongelea kiswahili anakutambua kuwa wewe ni mtanzania
wengine wakasema hata kuwepo kwa ukarimu kwa watanzania nimoja ya utamaduni wao na walitoa hoja zao wakilinganisha na nchi kama Kenya na Uganda ambapo neneo NAOMBA haliwezi kutumika kama unatoa pesa lakini kwa Tanzania hata kama
wakati unatoa pesa ,neno hili hutumika
Mimi kama mimi naona kuwa jamii yeyote lazima iwe na namna ya maisha ambayo huwa inabadilika kutokana na muda na mahali
tukisema kuwa Tanzania hamna utamaduni tunamaanisha kuwa Tanzania hamna namna watu wanavyoishi kitu amba sio kweli
Na namna ya maisha inahusisha vitu mbalimbali kama lugha vyakula kutembea kuimba kucheza kuvaa na vinginevyo . je Tanzania mambo haya haya yapo?
utamaduni wa mtanazania upo na kiswahili ni sehemu moja tu ya utamaduni wa mtanznia
baadhi ya watu walisema
Tanzania hamna utamaduni kwa sababu hakuna vazi la kitaifa kama wenzetu wa NIGERIAwengine wamesema kuwa hatutumii lugha yetu ya kiswahili katika mikutano mikubwa hasa viongozi wa siasa na baadhi wa viongozi wa dini
wengine wakasema kuwa Tanzania hakuna utamaduni wa kweli kutokana na ule wa ukarimu uliokuwepo umekuwa wa kinafiki
baadhi ya watu wengine wakasema kuwa Tanzania ina utamaduni wake
na wakatoa pointi zao za kuimarisha hoja zao kama ifuatavyo
Tanzania inatumia lugha ya Kiswahili ambayo ndio inayowaunganisha watanzania wote nchini hivyo mtu yeyote akisikia ukiongelea kiswahili anakutambua kuwa wewe ni mtanzania
wengine wakasema hata kuwepo kwa ukarimu kwa watanzania nimoja ya utamaduni wao na walitoa hoja zao wakilinganisha na nchi kama Kenya na Uganda ambapo neneo NAOMBA haliwezi kutumika kama unatoa pesa lakini kwa Tanzania hata kama
wakati unatoa pesa ,neno hili hutumika
Mimi kama mimi naona kuwa jamii yeyote lazima iwe na namna ya maisha ambayo huwa inabadilika kutokana na muda na mahali
tukisema kuwa Tanzania hamna utamaduni tunamaanisha kuwa Tanzania hamna namna watu wanavyoishi kitu amba sio kweli
Na namna ya maisha inahusisha vitu mbalimbali kama lugha vyakula kutembea kuimba kucheza kuvaa na vinginevyo . je Tanzania mambo haya haya yapo?
utamaduni wa mtanazania upo na kiswahili ni sehemu moja tu ya utamaduni wa mtanznia
Tuesday, March 2, 2010
mtaalam mambo ya uhariri wa vipindi vya television
Subscribe to:
Posts (Atom)